Wema awafungukia wanaomuuliiza atazaa lini, Haya ndiyo Majibu yake

Kumekuwa na Maswali yanayomuuliza Wema Sepetu Kuwa atazaa lini; zimemtibua mwandada huyu ambaye aliwahi kuwa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. Kauli hizo Zimemchosha kiasi kwamba Jana ameamua kuwatolea uvivu vinara wa kauli hizo and this time madame is very very angry!!


Kupitia ukurtasa wake wa Innstgram Wema Sepetu aliandika  hivi..

Okay... Lets get things straight here.... See dat doggie up there... Y'all see her....? Dat is my bebi.... since i dont have a bebi... Huyo ndo mtoto wng... Basi sasa nitapopost afu nisikie kuzaa nakublock fasta... Mshaniona sizai basi ndo mjue sizai... Akha...!! Zaa zaa... If u have a child im happy for u... Nd wish u da best... I dont... Ndo mungu alivyonipangia... So please hey.... Watakaozaa all da best... Walio na mipango ya kuzaa hongereni... Mimi sina ... Im done... Vanilla ndo bebi wangu kipenzi na nampenda kuliko.... Na wale wa subhannah llah pia nisiwaone... This is getting too personal sasa...


Kwa message hiyo itakuwa imefika kwa walengwa wanaomwambia mwandada Wema Sepetu kuzaa!

Previous Post Next Post