Picha: Waje na Diamond washoot video jijini Cape Town, SA

Diamond Platnumz ameamua kusafiri hadi jijini Cape Town, Afrika Kusini kwenda kushoot video ya wimbo alioshirikishwa na msanii wa Nigeria, Waje. Diamond na Waje Video hiyo imefanyika kakita fukwe za bahari ya Atlantic jijini Cape Town



Tazama Picha hapa....







Previous Post Next Post